Monday, February 13, 2012

MSIBA WA MZEE KIPARA

 MIMI NA LUCY KOMBA TUKIINGIA MSIBANI MAENEO YA KIGOGO KWENYE NYUMBA YA KAOLE SANAA GROUP  AMBAPO MAREHEMU ALIKUWA AKIISHI HAPO HADI UMAUTI ULIPOMFIKA TAREHE 11/1/2012
 SUSAN LEWIS NATASHA NA WAKINAMAMA MSIBANI


MH.SITTA NA MZEE MAPILI PAMOJA NA WAOMBOLEZAJI WAKIMUAGA MZEE KIPARA


KANUMBA NA WAKINA BABA WAKIMSINDIKIZA MZEE WETU KIPARA KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE

 HERIETH CHUMIRA,ME,LUCY KOMBA NA SOUD ALLY

DEVOTHA MBAGA ,NORA,MAYA NA WENGINEO WALIKUWEPO PIA MSIBANI
SISI TULIMPENDA FUNDI SAID ALMAARUFU MZEE KIPARA,LAKINI MUNGU AMEMPENDA ZAIDI.

Tuesday, February 7, 2012

MINI ZIFF RED CARPET

 Red Carpet ya Mini Ziff
Location: Maisha Club,Oyster bay.

Swahiba Steven Kanumba alipata Tuzo mbili ya msanii bora wa kiume na The Best Sound...Filamu ya Devil Kingdom aliyofanya na Ramsey Tokumbo Noah wa Nigeria.Big Up Dogo

 Aunty Ezekiel na Dennis Sweya aka Dino ndani


 Baby Madaha naye ndani ya Red Carpet bila kukosa anatamba na Muvi yake mpya hivi sasa ya RAY OF HOPE iliyoshinda Tuzo ya Filamu bora kwa mujibu wa ZIff ya Mwaka jana


Mambo hayo ya zamani hapo....Single Mtambalike,me na my Sweet mama....Inapendeza

 
Hisani Muya aka Tino,me and Dino
 MINI ZIFF ilitoa tuzo kwa watu na Makampuni 10 waliyofanya vizuri kwa 2011
BEST DIRECTOR-ISSA MUSA CLOUD
BEST SOUND-DEVIL KINGDOM(KANUMBA)
BEST MOVIE-SENIOR BACHELOR(JB)
BEST UPCOMING-JUMA(ZOBA)
BEST DISTRIBUTOR-PILIPILI AND,STEPS ENTERTAINMENT
HONORARY AWARD-THECKLA MJATA
THE MOST INFLUENCIAL ICON-VINCENT KIGOSI(RAY)
BEST ACTOR-STEVEN KANUMBA
BEST ACTRESS-ROSE NDAUKA