
Nungwi-Kigamboni kwenye kambi ya yatima na wazee wasiojiweza zamani ikifahamika kama kambi ya wenye Ukoma ndiko nilipotembelea weekend hii na kula lunch pamoja nao.Chakula kilichopikwa na sisi wenyewe katika kikundi chetu cha wanawake cha Hybiscus

Hapa tukipata msosi na kupiga story mbili tatu na bibi huyu ambaye ni mgonjwa na anayeishi kambini hapo,alifurahi sana.


Huyu mtoto alinitia majonzi na kunidondosha chozi....Ni yatima na hapo kambini yupo yeye na wadogo zake wawili.Alinipenda sana nami nimempenda sana pia

Akiendelea kunielezea mkasa wake
