Saturday, February 26, 2011

BONGO MOVIES FC VS BONGO FLAVA FC


Match kati ya Bongo Movies FC na Bongo Flava FC iliyofanyika jana Jumaamosi katika Uwanja mpya wa TAIFA kwa ajili ya kuchangia wenzetu waliokutwa na janga la mabomu ya Gongo la mboto na wengine kupoteza maisha.Hicho ndio Kikosi cha Bongo Movies FC



shitua kama Joti,cheza kama Joti,cheza kijotijoti ha ha ha......Joti wa Original Komedi ndani ya nyumba.


2nd half,hapa Bongo Movies FC tumeshafungwa kwa taabu sana goli 2.Magoli yote ya Bongo Flava FC yakifungwa na H.BABA alituudhi sana na ALI KIBA ndio alifanya sifa kama anataka kusajiliwa na YANGA vile


Wema Sepetu na Jacky Pentezel wakifuatilia Mechi



My mama( Susan Lewis Natasha) na Ephraim Kibonde.......kabla ya mechi kuanza



OH! My best Radio Presenter Millard Ayo huyoooooooooooo


My friend who is also One of Bongo movies show Producers,Felix Awino na Eva Dude



Suda Mwilima wa STAR TV akimhoji Malkia wa mipasho.Top in Town Khadija Omari Kopa


Hapa KOLETHA,MAMA na Mzee CHILLO ambaye alikuwa mmoja wa kamati ya ufundi


Yvonne Cherryl...............




ha ha ha na Jezi yangu na bado tukafungwa

Me,Devotha Mbaga,Mama na Jackline Wolper

For the first time,naweza sema wasanii bongo wamefanya kitu kikubwa sana kwa ajili ya maslahi ya jamii yetu.Ni kitu cha kuwapongeza kwa kweli.

No comments:

Post a Comment