Sunday, February 13, 2011

Monalisa kuhost Bongo Movies Show


Yvonne cherryl Monalisa aka malkia wa Bongo movies ataanza kuonekana jumaatano hii ndani ya EastAfrica Television kwenye kipindi cha Bongo movies.
Kipindi hicho huzungumzia masuala yote yanayohusiana na tasnia ya filamu Tanzania.

Joyce Kiria aliyekuwa stering wa kipindi cha Bongo Movies kwa muda mrefu ambaye pia ni mtayarishaji wa kipindi hicho akiwa na Yvonne Cherryl kabla ya kuanza kurekodi kipindi




Jumaatano hii na zingine zinazofuata usikose kuangalia show hiyo saa tatu na nusu usiku,EATV na Yvonne Cherryl

No comments:

Post a Comment