
Yvonne cherryl Monalisa aka malkia wa Bongo movies ataanza kuonekana jumaatano hii ndani ya EastAfrica Television kwenye kipindi cha Bongo movies.
Kipindi hicho huzungumzia masuala yote yanayohusiana na tasnia ya filamu Tanzania.



Jumaatano hii na zingine zinazofuata usikose kuangalia show hiyo saa tatu na nusu usiku,EATV na Yvonne Cherryl
No comments:
Post a Comment