Thursday, October 20, 2011

I AM BACK


Ni siku nyingi sana nimekuwa kimya katika ulimwengu huu wa blogu lakini sasa nimerejea mzima mzima kuendelea kuwa nanyi karibu,kuwajuza nanyi kunijulisha mambo kadha wa kadha katika tasnia hii ya filamu zetu za kibongo. Fuatana nami upya tena kama zamani........hebu ngoja niwapigie namba zenu kama mnapatikana maana na nyie kwa kubadili namba siwawezi

No comments:

Post a Comment