Sunday, January 1, 2012

BONGO MOVIES BEACH PARTY 2011


from right:Jack wolper,Ummy aka Dokii,na mimi mwenyewe

Kila mwisho wa mwaka,kampuni ya usambazaji wa Filamu nchini STEPS hufanya beach party ya kufunga mwaka na kuwashukuru wasanii na watayarishaji wa filamu ambao wamefanya nao kazi.
 Jacob Stephen ambaye tumetoka naye mbali sana tangu enzi za mambo hayo,unakumbuka?naye bila kukosa.

 Susan Lewis aka Natasha aka Mama yangu,ha ha ha hiyo ya pili sio aka bwana.....mama yangu kipenzi naye apitwe?

 From left:Jenifa Kyaka aka Odama,Me,na Mayasa Mrisho aka Maya

 Mkurugenzi wa Steps Entertainment Ltd Mr.Dilesh akinikabidhi Certificate of Appreciation iliyosomeka THERE'S NO S-CCES WITHOUT U!Imetulia

 Tukipiga story kidogo na bibie Salama Salmin aka Sandra huku vikuku vikipanda kwa mbali,umekosaje?

Mwisho mzee wa Relax akinipa shavu,ha ha ha Peter Msechu naye aliyekuwepo

Party ilifanyika Sunrise Beach Hotel Kigamboni.Ilikuwa Party nzuri kwakweli,Inafrica Band ilikuwepo na vikundi mbalilmbali kuachilia mbali watayarishaji wote wa filamu Tanzania unaowafahamu.

No comments:

Post a Comment