
THE LONG AWAITED DVD BINTI NUSA 1 AND 2 IS OUT IN THE SHOPS. GET YOUR COPY NOW FROM******************

THE LONG AWAITED DVD BINTI NUSA 1 AND 2 IS OUT IN THE SHOPS. GET YOUR COPY NOW FROM******************BM SALON-KINONDONI,DIDA CLASSIC BOUTIQUE-KINONDONI,MISH CAFE-TEMEKE,YAMENO SHOP-MTONI AZIZ ALLY,JOHN SHOP-AZIZ ALLY,NATASHA WA MITINDO-YOMBO DOVYA,CASH MONEY-KARIAKOO NEAR AL HARAMAIN SEC AND ALL DVD SHOPS AT KARIAKOO

Binti Nusa ni hadithi ya Malaika, msichana kutoka kijijini anayeanza safari ya kwenda mjini kumtafuta kaka yake ili amuendeleze kimasomo. Safarini anakumbana na majanga yanayobadili kabisa malengo yake katika maisha....... sinema hii yenye wasanii mbalimbali wakiwemo wwngine kutoka nje ya Tanzania, imewekwa muziki na Paul Ndunguru na kundi zima la Wahapahapa Band.
Kwa wafanya biashara tumieni namba hizi kwa kuagiza DVD za jumla............................................................................................ 0715541714 - 0718422086

script huandikwa, wasanii hutafutwa, maeneo ambayo picha zitapigwa hutafutwa, kampuni ya kupiga picha hujulikana wakati huu na watendaji wote kwa ujumla , kila kitu kikisha kuwa tayari ndipo, hatua ya pili ya production huanza, ambapo ndio hufanywa kazi ya shooting ya filamu.
a hatua ya Post Production, ambapo katika hatua hii ndo filamu huanza
kufanyiwa kazi katika studio. Kuiedit, kuingiza sauti mbali mbali ili filamu iwe kamili, tayari kwa kusambazwa. BINTI NUSA 2 ipo katika hatua hii kaeni chonjo.