
Match kati ya Bongo Movies FC na Bongo Flava FC iliyofanyika jana Jumaamosi katika Uwanja mpya wa TAIFA kwa ajili ya kuchangia wenzetu waliokutwa na janga la mabomu ya Gongo la mboto na wengine kupoteza maisha.Hicho ndio Kikosi cha Bongo Movies FC

shitua kama Joti,cheza kama Joti,cheza kijotijoti ha ha ha......Joti wa Original Komedi ndani ya nyumba.

2nd half,hapa Bongo Movies FC tumeshafungwa kwa taabu sana goli 2.Magoli yote ya Bongo Flava FC yakifungwa na H.BABA alituudhi sana na ALI KIBA ndio alifanya sifa kama anataka kusajiliwa na YANGA vile

Wema Sepetu na Jacky Pentezel wakifuatilia Mechi

My mama( Susan Lewis Natasha) na Ephraim Kibonde.......kabla ya mechi kuanza

OH! My best Radio Presenter Millard Ayo huyoooooooooooo

My friend who is also One of Bongo movies show Producers,Felix Awino na Eva Dude

Suda Mwilima wa STAR TV akimhoji Malkia wa mipasho.Top in Town Khadija Omari Kopa

Hapa KOLETHA,MAMA na Mzee CHILLO ambaye alikuwa mmoja wa kamati ya ufundi

Yvonne Cherryl...............


ha ha ha na Jezi yangu na bado tukafungwa

For the first time,naweza sema wasanii bongo wamefanya kitu kikubwa sana kwa ajili ya maslahi ya jamii yetu.Ni kitu cha kuwapongeza kwa kweli.