Friday, December 2, 2011

MAMBO YA KONOKONO!!

MADINA MARKET,GHANA.
April,2011.

Inaitwa  tembea uone,duh!nilikuwa nasikia tu kwamba jamaa wa Afrika Magharibi wanakula konokono nikataka kuona kwa macho yangu mwenyewe.Si ndio nikatia timu katika soko la Madina,huko Ghana kujionea.Hapo ni kama nataka kukimbia,wenyeji wangu wacha wacheke.

 Jamaa ndio haooooo,wanatembea tembea kwenye beseni.kilichonishangaza yani wanauzwa very expensive eti hako kakonokono kamoja ni karibu buku 5 ya kibongo...loh!

Nyama nyama nyama?nyamaaaaaa

No comments:

Post a Comment