Thursday, December 1, 2011

TUKO PAMOJA NAWE SAJUKI NA FAMILIA YAKO

Timu nzima ya Monalisafilms blogspot inaungana na watanzania na wasiokuwa watanzania lakini wanaofahamu fika hali ya kiafya ya msanii wa maigizo Juma Kilowoko al-maarufu kama Sajuki katika kipindi hiki kigumu sana,pamoja tunakuombea upone haraka na kurejea katika shughuli zako za kila siku.Maombi yetu pia kwa mama Sajuki (Wastara),Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki cha kumuuguza mumeo.

Kutoa ni moyo kwa yeyote mwenye chochote kitu kwa nia moja ameamua kumfariji mgonjwa awasiliane na blog hii ya Monalisafilms kwa namba 0718958758 ama email yvonnecherryl@gmail.com na mchango wako utafikishwa mahali husika..

No comments:

Post a Comment