Monday, November 28, 2011

POLE SANA YUSUPH!!!




 YUSUPH MLELA akiwa na Marehemu baba yake MR..MLELA




Yusuph Mlela,moja kati ya mastaa wakali wa muvi za kibongo,amefiwa na baba yake mzazi pichani hapo juu leo.Kwa niaba ya mafans wangu wote toka pande zote za dunia nachukua nafasi hii kukupa pole sana kwa kumpoteza kipenzi chako.Tupo pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu,tunakuombea kwa Mungu ili akupe nguvu za ziada za kushinda maumivu unayoyasikia sasa.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA,JINA LAKE LIBARIKIWE.

No comments:

Post a Comment