Location:Kinondoni,Studio
Dar es salaam
July,2011
Jamani hapo ilikuwa ni Photo Shoot kwa ajili ya cover ya muvi ya Emanuel Myamba huyo hapo pichani,Muvi imeshatoka ipo sokoni kwa hivi sasa inaitwa PASTOR MYAMBA-THE TRIALS 1& 2,
Myamba ni kati ya wasanii wakali wa Bongo,anayefanya vizuri sana katika filam mbalimbali na kwa sasa ameanzisha chuo cha filamu....Haya sasa kazi kwenu kwa wapenda kusomea sanaa mnakaribishwa.
Sunday, December 11, 2011
Thursday, December 8, 2011
TOGOOOOOOOOO!!!!!
Togo,West Africa
May,2011
Togo,small country but very beautiful.Nilienjoy kwakweli.Wish to go back there soon.
Ni mkoko tu uliokuwa ukinizungusha hapa na pale ili mradi niutumie muda wangu vizuri wakati natalii katika nchi hiyo.
Mwisho wa siku,maua yana sehemu yake bana.beautiful flowers kwa beautiful lady,au sio?ha ha ha
May,2011
Togo,small country but very beautiful.Nilienjoy kwakweli.Wish to go back there soon.
Ni mkoko tu uliokuwa ukinizungusha hapa na pale ili mradi niutumie muda wangu vizuri wakati natalii katika nchi hiyo.
Mwisho wa siku,maua yana sehemu yake bana.beautiful flowers kwa beautiful lady,au sio?ha ha ha
Friday, December 2, 2011
MAMBO YA KONOKONO!!
MADINA MARKET,GHANA.
April,2011.
Inaitwa tembea uone,duh!nilikuwa nasikia tu kwamba jamaa wa Afrika Magharibi wanakula konokono nikataka kuona kwa macho yangu mwenyewe.Si ndio nikatia timu katika soko la Madina,huko Ghana kujionea.Hapo ni kama nataka kukimbia,wenyeji wangu wacha wacheke.
Jamaa ndio haooooo,wanatembea tembea kwenye beseni.kilichonishangaza yani wanauzwa very expensive eti hako kakonokono kamoja ni karibu buku 5 ya kibongo...loh!
Nyama nyama nyama?nyamaaaaaa
April,2011.
Inaitwa tembea uone,duh!nilikuwa nasikia tu kwamba jamaa wa Afrika Magharibi wanakula konokono nikataka kuona kwa macho yangu mwenyewe.Si ndio nikatia timu katika soko la Madina,huko Ghana kujionea.Hapo ni kama nataka kukimbia,wenyeji wangu wacha wacheke.
Jamaa ndio haooooo,wanatembea tembea kwenye beseni.kilichonishangaza yani wanauzwa very expensive eti hako kakonokono kamoja ni karibu buku 5 ya kibongo...loh!
Nyama nyama nyama?nyamaaaaaa
Thursday, December 1, 2011
TUKO PAMOJA NAWE SAJUKI NA FAMILIA YAKO
Timu nzima ya Monalisafilms blogspot inaungana na
watanzania na wasiokuwa watanzania lakini wanaofahamu fika hali ya
kiafya ya msanii wa maigizo Juma Kilowoko al-maarufu kama Sajuki katika
kipindi hiki kigumu sana,pamoja tunakuombea upone haraka na kurejea
katika shughuli zako za kila siku.Maombi yetu pia kwa mama Sajuki (Wastara),Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki cha kumuuguza mumeo.
Kutoa ni moyo kwa yeyote mwenye chochote kitu kwa nia moja ameamua kumfariji mgonjwa awasiliane na blog hii ya Monalisafilms kwa namba 0718958758 ama email yvonnecherryl@gmail.com na mchango wako utafikishwa mahali husika..
Kutoa ni moyo kwa yeyote mwenye chochote kitu kwa nia moja ameamua kumfariji mgonjwa awasiliane na blog hii ya Monalisafilms kwa namba 0718958758 ama email yvonnecherryl@gmail.com na mchango wako utafikishwa mahali husika..
Monday, November 28, 2011
POLE SANA YUSUPH!!!
YUSUPH MLELA akiwa na Marehemu baba yake MR..MLELA
Yusuph Mlela,moja kati ya mastaa wakali wa muvi za kibongo,amefiwa na baba yake mzazi pichani hapo juu leo.Kwa niaba ya mafans wangu wote toka pande zote za dunia nachukua nafasi hii kukupa pole sana kwa kumpoteza kipenzi chako.Tupo pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu,tunakuombea kwa Mungu ili akupe nguvu za ziada za kushinda maumivu unayoyasikia sasa.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA,JINA LAKE LIBARIKIWE.
Saturday, November 26, 2011
PIC OF THE WEEK
Kalsoume Sinare and I,Accra-Ghana.March,2011
Kalsoume Sinare,ni mmoja kati ya waigizaji wakongwe na mahiri wa Ghallywood.Yeye ndiye alikuwa symbol yangu kwa miaka ya nyuma katika kufahamu kwamba hii ni filamu ya ghana.Amekuwepo kwa muda mrefu sana,tangu alikuwa akicheza kama kasichana,na sasa bado anaendelea kukimbiza tu.
Mara yangu ya kwaza kabisa kutia maguu Accra,yeye ndiye mtu wa kwanza nilliyekuwa nawish kummeet na kubadilishana naye mawazo mawili matatu kuhusiana na kiwanda cha filamu sio Bongo wala cha Ghana,bali kiwanda cha filamu Africa.Ni ndoto yangu kuona siku moja Producer wa Nollwood anapoandaa filamu anaanza kufikiria Cast kutoka Angola,au Rwanda.Producer wa Bongo anamfikiria msanii wa Ghana au South Africa,Producer wa Ghana anamfikiria msanii wa Kibongo au Burundi,INAWEZEKANA.
I was so excited kukutana na Kalsoume Japo kwa bahati mbaya hakuwa wa kwanza tena kukutana naye kama ilikvyokuwa ndoto yangu kwani nilishakutana na MAJID MICHEL, na ADJETEY ANANG.Lakini Kalsoume alinipokea vizuri sana,ni mcheshi na mkarimu.Nilienjoy kwa kweli,na akaniinvite dinner mara nyingine nitakayokuwa huko,japo niliporudi tena in Sept..i was so busy na mambo mengine hatukuonana.
Kalsoume ni mke na mama wa watoto wawili wa Kiume.
Kalsoume Sinare,ni mmoja kati ya waigizaji wakongwe na mahiri wa Ghallywood.Yeye ndiye alikuwa symbol yangu kwa miaka ya nyuma katika kufahamu kwamba hii ni filamu ya ghana.Amekuwepo kwa muda mrefu sana,tangu alikuwa akicheza kama kasichana,na sasa bado anaendelea kukimbiza tu.
Mara yangu ya kwaza kabisa kutia maguu Accra,yeye ndiye mtu wa kwanza nilliyekuwa nawish kummeet na kubadilishana naye mawazo mawili matatu kuhusiana na kiwanda cha filamu sio Bongo wala cha Ghana,bali kiwanda cha filamu Africa.Ni ndoto yangu kuona siku moja Producer wa Nollwood anapoandaa filamu anaanza kufikiria Cast kutoka Angola,au Rwanda.Producer wa Bongo anamfikiria msanii wa Ghana au South Africa,Producer wa Ghana anamfikiria msanii wa Kibongo au Burundi,INAWEZEKANA.
I was so excited kukutana na Kalsoume Japo kwa bahati mbaya hakuwa wa kwanza tena kukutana naye kama ilikvyokuwa ndoto yangu kwani nilishakutana na MAJID MICHEL, na ADJETEY ANANG.Lakini Kalsoume alinipokea vizuri sana,ni mcheshi na mkarimu.Nilienjoy kwa kweli,na akaniinvite dinner mara nyingine nitakayokuwa huko,japo niliporudi tena in Sept..i was so busy na mambo mengine hatukuonana.
Kalsoume ni mke na mama wa watoto wawili wa Kiume.
Habar toka News One-Accra,Ghana
Monday, 21 November 2011
Bleeding Sunshine: A Hollywood Thriller On Human Trafficking Begins In Accra
It
has become evident that female movie makers from Africa have taken the
continent’s movie industry a step further in recent times.
Chineze Anyaene’s ‘Ije’ and Leila Djansi’s ‘Sinking Sands’ are a few classic examples.
The
world is about to witness another landmark achievement in the history
of movies as an American-based Ghanaian female filmmaker, Yaa Boaa
Aning, parts the curtains for ‘Bleeding Sunshine’, an international
standard feature film on human trafficking.
Yaa
has just wrapped up the Ghana shoot of the film but would take shots
from some other significant locations in Egypt, Dubai and Israel.
‘Bleeding
Sunshine’ sheds light on the untold intricacies of human trafficking
with emphasis on African teenagers trafficked to other parts of the
world, particularly to Europe for mostly commercial sexual exploitation.
It
significantly tackles some of the modus operandi of traffickers while
sharing firsthand information on what victims go through.
This brings to bare the nightmares of a young Ghanaian girl, played by Suzzy Nabor, who was adopted from her humble fishing village and thrust into the gritty world of international human trafficking.
Yaa
Boaa Aning wrote the film’s script five years ago when she was doing a
research on Interpol. Through the research, she came across an article
which inspired her to carry further investigation into human trafficking
issues.
Yaa Boaa, a Bachelor’s degree holder from the University of North Carolina at Chapel Hill,
who has worked in Hollywood for the last 10 years, is fascinated by the
beautiful locations in Ghana and stated that it was one of the factors
that inspired the feature.
“I
mean it is so beautiful out here. Part of the reasons to shoot was to
show Ghana in a way it has never been shown before to the world before.
There is going to be photo-tourism. Everywhere we turned our camera
there is richness of culture and we want people in abroad to see and
remind people that leave here how special this place is and also inspire
them to look after it,” she told NEWS-ONE.
“There
were certainly some challenges that I did justice to. But I mean the
benefit is just how great the locations are here. We shot in Prampram
and the abandoned Polo Club with the view of ocean with horses running
in the background. We also did a number of sunrise shots, with fishermen
pushing their boats out into the ocean and the sun coming up behind
them. There are incredible scenes out there that I don’t get to see in
Hollywood. You know it is something so different. It is really great.
The pictures have never been done before,” added Chase Bowman, Director
of photography (DOP) of Bleeding Sunshine.
Chase
is a top Hollywood DOP with film credits like ‘Excuse Me For Living’
featuring Tom Pelphrey, Christopher Lloyd, Robert Vaughn, Wayne Knight,
Jerry Stiller and Dick Cavett; the Warner Bros. release ‘Listen To Your
Heart’ featuring Cybil Shepherd and Ernie Sabella; ‘In a Pickle’
starring Jackie Mason, and ‘Cost of a Soul’, which was theatrically
released nationwide at 50 AMC theaters in April 2011.
He started shooting professionally at the age of fourteen, refined his skills by studying art and photography in Rome,
and ran his own production company for ten years. His involvement in
‘Bleeding Sunshine’ is his first experience working in Ghana and second
in Africa after his previous job in Kenya.
With
heart-throbbing scenes, the story of ‘Bleeding Sunshine’ is told with a
great cast from around world; one reason the movie is expected to sell
internationally.
Although Hollywood cast are to be made public, the film’s African cast will include 2007 ‘Pirates of the Caribbean’ star Hakeem
Kae-Kazim, Omar Sheriff, Amonobea Dodoo, Steven Kanumba, 2011 Pan
African best Actor- Chris Attoh, 2010 Zanzibar Intl Film Fest Award Best
Actress-Yvonne Cherryl from Tanzania, and 2010 Africa Movie Academy
Awards (AMAA) Best Actor, AdjeteyAnang (Pusher).
AMAA
2011 Best Actress - Ama K Abebrese, Suzzy Nabor, Jasmine Baroudi of
‘Adams Apples’ fame, Lady Arafua, R&B sensation Katou and Lucy Kwao
and others are part of the cast.
“I
played the character of Captain Addo, a fisherman, the father of Suzzy,
the little girl who was trafficked overseas. But I have shot lifespan
in it. It is great production and very professional. I was always on my
toes because I knew that I have to raise my level. It wasn’t a layback
experience or like what we have back home. The director and crew were
down to earth; I can’t pinpoint anything I didn’t like about this
production,” Adjetey Anang said about his role in the project.
Yaa Boaa hoped the film would be the next big thing on the international movie scene when it was finally done.
Yaa
Boaa, born to Ghanaian parents in the US some years ago, has made a
name in USA for her enormous contributions in US entertainment industry.
She
started her career in advertising in New York. But bored with the lack
of creative expression in account management, she decided to try her
hands at fashion show production with some of the most prominent houses
in the world- Giorgio Armani, BCBG, Jeremy Scott, and Betsey Johnson to
name a few.
Fashion
show production lead to fashion styling, which lead to film costuming,
which ultimately exposed her to the enduring art of filmmaking, working
with such acclaimed directors as Michael Mann, Bill Condon and John
Singleton. Never letting go of her passion for writing, between 2007 and
2010, Yaa Boaa completed her first 5 feature scripts.
In
2009, she wrote and directed award-winning short film, ‘The Prince of
Venice’. Other projects include ‘Felix Triangle for President,’ which
is currently in pre-production and ‘Zahara’ which is in postproduction.
She also costumed Jamie Foxx and Usher Raymond in ‘The Kingdom’, ‘Dream Girls’, ‘Miami Vice’ and ‘In The Mix’.
Richard
Nwaobi-E project managed this film and assembled a great cast as the
film producer, Dave Boapong, was production manager, with Brian Angels as camera assistant.
Credit: Francis Addo, NEWS-ONE
Subscribe to:
Posts (Atom)






