Thursday, December 23, 2010

MATUKIO 10 YALIYONIFURAHISHA NA KUNIHUZUNISHA KWA MWAKA HUU WA 2010






2011 is around the corner. Kuna mambo mengi mazuri,na mabaya ambayo yamenitokea katika maisha yangu na watu wangu wa karibu kwa mwaka huu wa 2010. Wakati siku chache tu zikisalia,kuukaribia mwaka huo mpya, nitawaletea matukio 10 ambayo kwangu yalinifurahisha na kunisikitisha.

Leo tuanze na Namba 10.

SONIA AKINYI..8 YEARS
My first born,amenifurahisha sana kwa mwaka huu, amefanya vizuri sana darasani lakini pia amefanya vizuri katika kazi mbalimbali za MATANGAZO YA TV, hadi mimi mwenyewe nikashangaa. Amefanya vizuri kwenye tangazo la magodoro ya COMFY, lakini pia amefunika na kuacha gumzo kwenye tangazo la VODA alipoachia ule usemi wa "HII GARI YA MAMA''Am proud of you My daughter,and Mammy loves you so so much.

No comments:

Post a Comment