Tuesday, December 28, 2010

no.5 TUKIO LILILONIFURAHISHA................76TH BIRTHDAY YA BIBI YANGU

My Bibi(RUTH JOSHUA) I love her so much.Bibi wa kizaramo aliyepandisha vidato,ungemkuta enzi zake zile za NYERERE...wewe!!!ungekoma naye,alikuwa anakimbiza sana...ha ha ha ha.

Yeye ndiye chimbuko langu,nampenda sana.Babu yangu ambaye ndiye aliyenipa jina la CHERRIE ambalo ni jina la kifaransa likimaanisha mpenzi,alifariki mwaka jana na bibi amebaki peke.

Ni mama wa mama yangu,ni rafiki yangu mkubwa na mshauri wangu mzuri sana.Mwaka huu tarehe 30 November ametimiza miaka 76,na tukamfanyia Party ndogo tu nyumbani kusherehekea pamoja naye.

No comments:

Post a Comment