no.4 TUKIO LILILONIFURAHISHA ..........................TUZO YA ZIFF MSANII BORA TOKA TANZANIA 2010
Napenda kushukuru MUNGU,Mama yangu,watoto wangu Sonia and Junior,My fans na wasanii wenzangu.Na hii TUZO ni YAKO WEWE!!Ahsante
VINCENT KIGOSI(RAY),JOYCE KIRIA(BONGO MOVIES SHOW),JANG'OMBE HEADMASTER,YVONNE CHERRYL,ISSA MUSA(CLOUD)AND STEVEN KANUMBA AT JANG'OMBE SECONDAY ZANZIBAR WHERE WE WENT TO VISIT DURING ZIFF
ZIFF(Zanzibar International Film Festival)hufanyika kila mwaka huko Ngome Kongwe,Zanzibar.likijumuisha filamu mbalimbali toka duniani,na mwaka huu ndio ulikuwa mwaka wa kwanza kuanzisha kitu kinachoitwa SWAHILI DAY ambapo filamu za kitanzania zilipata nafasi ya kuonyeshwa na kushindanishwa na kupigiwa kura ili kupatikana Filamu bora na Msanii bora,na pia walitualika mastaa wa filamu bongo na tukaenda kushiriki na kufanya kazi za jamii
Nashukuru Mungu kwa kushinda TUZO hiyo ya kwanza toka ZIFF.
Ila mwakani,msituchanganye wanawake na wanaume,nasuggest kuwe na TUZO ya msanii bora wa kike na wa kiume na FILAMU BORA.
No comments:
Post a Comment