Sunday, December 26, 2010

No.7 TUKIO LILILONIFURAHISHA. MY FANS,FRIENDS AND FAMILY

Napenda kuwashukuru sana watu wa Media zote, marafiki zangu,ndugu zangu na mashabiki wangu toka pande zote za dunia. Mmekuwa faraja sana kwangu kwa mwaka huu wa 2010, hamkuniacha hata kidogo na mmendelea kuniweka hapa nilipo,Thank you.

Nimepokea zawadi nyingi sana mwaka huu kutoka kwenu, sio tu vitu bali hata mawazo yenu, kura zenu pale panapohitajika kufanya hivyo, salaam za kunitakia kheri, salaam za kunipongeza pale panapostahili kufanya hivyo, na pole pale nilipoumizwa, Nitake nini tena zaidi?

Sanura (Denmark)


Ahsante sana kwa fans wangu wa Facebook. Nawapenda
Ahsante kwa General Sanga in UAE kwa zawadi nzuri sana ya krismas
Ahsante kwa Sanura wa Denmark, hujanitupa
Habiba na Hawa,Dernmark Nawapenda
My Papa in Ghana, thanks for the Birthday Package...Was WOW!!!! Nakupenda
From Japan, Peter Ikongo and friends, thank you
Myovelwa Mfwaisa...ahsante sana.
Dina Marios from Clouds Radio, Nakupenda
Paster Myamba, You know I love you brother!
Hashim Kambi, sina cha kusema.


Vanitha Omary....Ahsante sana.
Lutheran wa UK.....thank u!
Credo and Gaza in Sweden,mpo?
Wadau wa Blog yangu, jamani Nawapenda sana.
Sheila Simba na Dj.Eddie wa Radio UHURU
Joyce Kiria Bongo Movies show
BINTI NUSA CAST & CREW...Thank u
Hybiscus Women Group...OH!!!
John Kitime...jamani sina la kusema.
KORISH FAMILY hamjui ninavyowapenda mmefanya kitu kikubwa sana katika maisha yangu.

Hawa (my pacha) mwaaaaaaaaaaaaa

My Pastor David Lutumba na Apostle Mary na wote wanaoabudu nami, ahsante kwa kuniombea.
Jamani Nawapenda sana sana tena zaidi ya sana.Tuendelee kuwa pamoja.....

No comments:

Post a Comment