Tuesday, November 1, 2011

MONALISA ABADILI DINI

Hiyo heading huenda imekushtua sana....... hapana usishtuke mbona kawaida kwani wangapi wamebadili dini na bado wanapeta??? kwani dhambi jamani. Hapana jamani alikuwa anatania tu,mwanadada mashuhuri ambaye anakaribia kuitwa nguli katika tasnia ya filamu bongo Yvonne Cherry yupo mzigoni na muda wowote kuanzia sasa msubiri hapo nyumbani kwako katika mzigo mpya anaoupiga na mtaalamu mwenzake Lucie Komba. Jina la picha naweka kapuni lakini mwanadada Monalisa hapo kati akiitwa Salma binti Sudi amevaa uhusika wa kiislamu na kubutua hiyo filamu ambayo bila shaka hajaharibu kitu chochote kama kawaida.
unaweza ukaamini yeye ndo kamvisha hili hijabu mwanadada binti wa Komba najua huwezi kuamini mtazame hapa chini.


hii ilikuwa siku ya kwanza....kwa behind the scene nyingine endelea kufatilia blog hii hadi mwisho wa mchezo

No comments:

Post a Comment