Friday, December 31, 2010
Thursday, December 30, 2010
no.2 TUKIO LILILONIFURAHISHA.....CHERRIE CO.LTD
Wednesday, December 29, 2010
no.3 TUKIO LILILONIFURAHISHA..........FILAMU YA BINTI NUSA

BINTI NUSA 1,2 & 3 Zimenifungia mwaka 2010.
Binti Nusa 1 ilitoka miaka miwili iliyopita,lakini ilipendwa sana, na watu walikuwa wanaiulizia kila mara.December hii nimewaletea mzigo huo part2 na 3,ambapo utakutana na mastaa wengi wakali SUSAN LEWIS,ELIZABETH CHIJUMBA,KENNETH AMBANI FROM KENYA,HASHIM KAMBI,MTANGA,NDUMBAGWE MISSAYO,FLORA MVUNGI,SHILOLE,na wengine wengi.
Imerekodiwa na Camera na vifaa vyenye ubora na vizuri zaidi,
Inafanya vizuri sana sokoni na natumai itaendelea kufanya vizuri.
Produced and Directed by YVONNE CHERRYL
no.4 TUKIO LILILONIFURAHISHA ..........................TUZO YA ZIFF MSANII BORA TOKA TANZANIA 2010







Nashukuru Mungu kwa kushinda TUZO hiyo ya kwanza toka ZIFF.
Ila mwakani,msituchanganye wanawake na wanaume,nasuggest kuwe na TUZO ya msanii bora wa kike na wa kiume na FILAMU BORA.
Tuesday, December 28, 2010
no.5 TUKIO LILILONIFURAHISHA................76TH BIRTHDAY YA BIBI YANGU
Yeye ndiye chimbuko langu,nampenda sana.Babu yangu ambaye ndiye aliyenipa jina la CHERRIE ambalo ni jina la kifaransa likimaanisha mpenzi,alifariki mwaka jana na bibi amebaki peke.
Ni mama wa mama yangu,ni rafiki yangu mkubwa na mshauri wangu mzuri sana.Mwaka huu tarehe 30 November ametimiza miaka 76,na tukamfanyia Party ndogo tu nyumbani kusherehekea pamoja naye.
Monday, December 27, 2010
NO.6 TUKIO LILILONISHTUSHA
Naikumbuka sana siku hiyo,ilikuwa tarehe 8 ya mwezi wa 8.
Matokeo ya BORA ZA 2010 katika matandao wa FILMCENTRAL
Matokeo ya kura za waliofanya vizuri katika mwaka 2010, kutokana na mtandao wa FILMCENTRAL umeniweka katika nafasi ya mwigizaji bora wa kike 2010 bofya hapa
Sunday, December 26, 2010
No.7 TUKIO LILILONIFURAHISHA. MY FANS,FRIENDS AND FAMILY

Nimepokea zawadi nyingi sana mwaka huu kutoka kwenu, sio tu vitu bali hata mawazo yenu, kura zenu pale panapohitajika kufanya hivyo, salaam za kunitakia kheri, salaam za kunipongeza pale panapostahili kufanya hivyo, na pole pale nilipoumizwa, Nitake nini tena zaidi?
Sanura (Denmark)
Ahsante sana kwa fans wangu wa Facebook. Nawapenda
Ahsante kwa General Sanga in UAE kwa zawadi nzuri sana ya krismas
Ahsante kwa Sanura wa Denmark, hujanitupa
Habiba na Hawa,Dernmark Nawapenda
My Papa in Ghana, thanks for the Birthday Package...Was WOW!!!! Nakupenda
From Japan, Peter Ikongo and friends, thank you
Myovelwa Mfwaisa...ahsante sana.
Dina Marios from Clouds Radio, Nakupenda
Paster Myamba, You know I love you brother!
Hashim Kambi, sina cha kusema.

Vanitha Omary....Ahsante sana.
Lutheran wa UK.....thank u!
Credo and Gaza in Sweden,mpo?
Wadau wa Blog yangu, jamani Nawapenda sana.
Sheila Simba na Dj.Eddie wa Radio UHURU
Joyce Kiria Bongo Movies show
BINTI NUSA CAST & CREW...Thank u
Hybiscus Women Group...OH!!!
John Kitime...jamani sina la kusema.
KORISH FAMILY hamjui ninavyowapenda mmefanya kitu kikubwa sana katika maisha yangu.
Hawa (my pacha) mwaaaaaaaaaaaaa
My Pastor David Lutumba na Apostle Mary na wote wanaoabudu nami, ahsante kwa kuniombea.
Jamani Nawapenda sana sana tena zaidi ya sana.Tuendelee kuwa pamoja.....
Friday, December 24, 2010
no.8 TUKIO LILONIFURAHISHA.NDUMBAGWE MISSAYO

VENUE:FLORIDA OYSTERBAY
COLOURS:BLACK & WHITE
COLOURS: YELLOW & GOLD
NDUMBAGWE'S DRESS: By NATASHA WA MITINDO

MY DRESS FROM WEST AFRICA
KITCHEN PARTY
VENUE: VIJANA HALL ,KINONDONI
COLOURS: BROWN & ORANGE(KITENGE)
MY DRESS: By NATASHA WA MITINDO


VENUE: NDUMBAGWE'S HOME
NDUMBA AND I DRESSED By NATASHA WA MITINDO
Ndumbagwe Missayo aka THEA ni zaidi ya rafiki kwangu, mimi kwangu ni ndugu yangu kabisa. Ninampenda sana, na ndoto yake kwa muda mrefu ilikuwa ni kupata mtu wa kumuoa. Na nimefurahi kwamba MUNGU amemjaalia amempata mwenza wake Mwaka huu, MIKE SANGU. Harusi yake ilifungwa tarehe 6 November 2010, lakini safari yake ya kuelekea siku hiyo ilianza mapema mwaka huu. Na haya ndiyo matukio ya safari yake hiyo ya kusema "I DO"
NO 9.TUKIO LILILONIFURAHISHA

Filamu imetayarishwa na RIVER OF LIFE MINISTRIES,chini ya KANISA la MLIMA WA MABADILIKO,ambako ndipo ninapoabudu.Na hizi ni picha za UZINDUZI WA FILAMU HIYO uliyofanyika LAMADA HOTEL,DAR ES SALAAM





Thursday, December 23, 2010
MATUKIO 10 YALIYONIFURAHISHA NA KUNIHUZUNISHA KWA MWAKA HUU WA 2010





2011 is around the corner. Kuna mambo mengi mazuri,na mabaya ambayo yamenitokea katika maisha yangu na watu wangu wa karibu kwa mwaka huu wa 2010. Wakati siku chache tu zikisalia,kuukaribia mwaka huo mpya, nitawaletea matukio 10 ambayo kwangu yalinifurahisha na kunisikitisha.
Leo tuanze na Namba 10.
SONIA AKINYI..8 YEARS
My first born,amenifurahisha sana kwa mwaka huu, amefanya vizuri sana darasani lakini pia amefanya vizuri katika kazi mbalimbali za MATANGAZO YA TV, hadi mimi mwenyewe nikashangaa. Amefanya vizuri kwenye tangazo la magodoro ya COMFY, lakini pia amefunika na kuacha gumzo kwenye tangazo la VODA alipoachia ule usemi wa "HII GARI YA MAMA''Am proud of you My daughter,and Mammy loves you so so much.
Saturday, December 11, 2010
CHIKI MCHOMA'S BIG DAY AT MSASANI BEACH CLUB. THE COLOURS OF THE WEDDING WERE RED & GOLD




CUTTING AND SHARING NDAFU
Tuesday, December 7, 2010
BONGO MOVIES JUMATANO SAA 3.30 USIKU, BINTI NUSA
Friday, December 3, 2010
Tuesday, November 30, 2010
BINTI NUSA2 IS OUT IN THE SHOPS

THE LONG AWAITED DVD BINTI NUSA 1 AND 2 IS OUT IN THE SHOPS. GET YOUR COPY NOW FROM******************BM SALON-KINONDONI,DIDA CLASSIC BOUTIQUE-KINONDONI,MISH CAFE-TEMEKE,YAMENO SHOP-MTONI AZIZ ALLY,JOHN SHOP-AZIZ ALLY,NATASHA WA MITINDO-YOMBO DOVYA,CASH MONEY-KARIAKOO NEAR AL HARAMAIN SEC AND ALL DVD SHOPS AT KARIAKOO
Sunday, November 28, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)