Ana miongo miwili katika tasnia ya filamu hapa nchini akiwa amepiga hatua hadi nje ya Tanzania, mbali zaidi ameusogeza mguu wake mmoja katika dreamland ya wa sanii wengi,"kuingia Hollywood".
Ameianza tasnia hii tangu akiitwa mtoto, baadaye msichana halafu hadi sasa anapoitwa mzazi bado anapeta katika game hili.
Kampuni inayozalisha magazeti pendwa ya burudani hapa yaani Global publishers nchini ililithibitisha hili kwa umma baada ya kufanya shindano baab kubwa lililowapambanisha wakali mbalimbali katka fani mbalimbali za saana hapa nchini, ni kura ya msomaji ilikuwa inaamua mshindi ni nani.
HAPA AKIWA MZIGONI si unajua kwama ana taaluma ya kuongoza filamu!!!!!!
HALAFU HAPA AKIWA MAMA......na mtoto wake wa mwisho kwa sasa
Kama kura zilipigwa na msomaji basi mwanadada Yvonne Cherryl Monalisa anakubalika ile sana, amefunika mastaa wote wa kike ambao ni maarufu na kuingia katika kumi bora ya kuwania tuzo zinazotolewa na kampuni hiyo ya Global Publishers zinazokwenda kwa jina la Tanzania Walk Of Fame. Katika orodha hiyo wanaume ni wanne na Monalisa akiungana na Jaydee,Bi. Kidude, na Rose Mhando katika kundi la wanawake wanne wa shoka hapa Bongo linapokuja suala la kuitunza Nyota ya umaarufu.
Monday, December 26, 2011
Thursday, December 22, 2011
POLENI KWA MAFURIKO TANZANIA
Ni jambo la kusikitisha sana lakini yote ni mipango ya Mungu huu si wakati muafaka wa kuwalaumu waliojenga mabondeni licha ya kupewa maonyo mara kwa mara bali ni wakati wa kuangalia nini tunafanya
hizi ni baadhi ya sehemu.......unaweza kuamini hapa ni barabarani???? yeah!! kama we ni wa hapa Dar na ulikuwa katika mizunguko ya hapa na pale siku ya jana na juzi waweza kuwa shahidi.
kama utani vilelakini huu ndio ukweli ilivyokuwa jana hapa jijini.......wamepoteza makazi hao tayari,serikali!!!!!!!! wapiga kura wenu hao,lakini na wewe mtanzania jirani yako huyo
hizi ni baadhi ya sehemu.......unaweza kuamini hapa ni barabarani???? yeah!! kama we ni wa hapa Dar na ulikuwa katika mizunguko ya hapa na pale siku ya jana na juzi waweza kuwa shahidi.
kama utani vilelakini huu ndio ukweli ilivyokuwa jana hapa jijini.......wamepoteza makazi hao tayari,serikali!!!!!!!! wapiga kura wenu hao,lakini na wewe mtanzania jirani yako huyo
Sunday, December 11, 2011
PIC OF THE WEEK
Location:Kinondoni,Studio
Dar es salaam
July,2011
Jamani hapo ilikuwa ni Photo Shoot kwa ajili ya cover ya muvi ya Emanuel Myamba huyo hapo pichani,Muvi imeshatoka ipo sokoni kwa hivi sasa inaitwa PASTOR MYAMBA-THE TRIALS 1& 2,
Myamba ni kati ya wasanii wakali wa Bongo,anayefanya vizuri sana katika filam mbalimbali na kwa sasa ameanzisha chuo cha filamu....Haya sasa kazi kwenu kwa wapenda kusomea sanaa mnakaribishwa.
Dar es salaam
July,2011
Jamani hapo ilikuwa ni Photo Shoot kwa ajili ya cover ya muvi ya Emanuel Myamba huyo hapo pichani,Muvi imeshatoka ipo sokoni kwa hivi sasa inaitwa PASTOR MYAMBA-THE TRIALS 1& 2,
Myamba ni kati ya wasanii wakali wa Bongo,anayefanya vizuri sana katika filam mbalimbali na kwa sasa ameanzisha chuo cha filamu....Haya sasa kazi kwenu kwa wapenda kusomea sanaa mnakaribishwa.
Thursday, December 8, 2011
TOGOOOOOOOOO!!!!!
Togo,West Africa
May,2011
Togo,small country but very beautiful.Nilienjoy kwakweli.Wish to go back there soon.
Ni mkoko tu uliokuwa ukinizungusha hapa na pale ili mradi niutumie muda wangu vizuri wakati natalii katika nchi hiyo.
Mwisho wa siku,maua yana sehemu yake bana.beautiful flowers kwa beautiful lady,au sio?ha ha ha
May,2011
Togo,small country but very beautiful.Nilienjoy kwakweli.Wish to go back there soon.
Ni mkoko tu uliokuwa ukinizungusha hapa na pale ili mradi niutumie muda wangu vizuri wakati natalii katika nchi hiyo.
Mwisho wa siku,maua yana sehemu yake bana.beautiful flowers kwa beautiful lady,au sio?ha ha ha
Friday, December 2, 2011
MAMBO YA KONOKONO!!
MADINA MARKET,GHANA.
April,2011.
Inaitwa tembea uone,duh!nilikuwa nasikia tu kwamba jamaa wa Afrika Magharibi wanakula konokono nikataka kuona kwa macho yangu mwenyewe.Si ndio nikatia timu katika soko la Madina,huko Ghana kujionea.Hapo ni kama nataka kukimbia,wenyeji wangu wacha wacheke.
Jamaa ndio haooooo,wanatembea tembea kwenye beseni.kilichonishangaza yani wanauzwa very expensive eti hako kakonokono kamoja ni karibu buku 5 ya kibongo...loh!
Nyama nyama nyama?nyamaaaaaa
April,2011.
Inaitwa tembea uone,duh!nilikuwa nasikia tu kwamba jamaa wa Afrika Magharibi wanakula konokono nikataka kuona kwa macho yangu mwenyewe.Si ndio nikatia timu katika soko la Madina,huko Ghana kujionea.Hapo ni kama nataka kukimbia,wenyeji wangu wacha wacheke.
Jamaa ndio haooooo,wanatembea tembea kwenye beseni.kilichonishangaza yani wanauzwa very expensive eti hako kakonokono kamoja ni karibu buku 5 ya kibongo...loh!
Nyama nyama nyama?nyamaaaaaa
Thursday, December 1, 2011
TUKO PAMOJA NAWE SAJUKI NA FAMILIA YAKO
Timu nzima ya Monalisafilms blogspot inaungana na
watanzania na wasiokuwa watanzania lakini wanaofahamu fika hali ya
kiafya ya msanii wa maigizo Juma Kilowoko al-maarufu kama Sajuki katika
kipindi hiki kigumu sana,pamoja tunakuombea upone haraka na kurejea
katika shughuli zako za kila siku.Maombi yetu pia kwa mama Sajuki (Wastara),Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki cha kumuuguza mumeo.
Kutoa ni moyo kwa yeyote mwenye chochote kitu kwa nia moja ameamua kumfariji mgonjwa awasiliane na blog hii ya Monalisafilms kwa namba 0718958758 ama email yvonnecherryl@gmail.com na mchango wako utafikishwa mahali husika..
Kutoa ni moyo kwa yeyote mwenye chochote kitu kwa nia moja ameamua kumfariji mgonjwa awasiliane na blog hii ya Monalisafilms kwa namba 0718958758 ama email yvonnecherryl@gmail.com na mchango wako utafikishwa mahali husika..
Monday, November 28, 2011
POLE SANA YUSUPH!!!
YUSUPH MLELA akiwa na Marehemu baba yake MR..MLELA
Yusuph Mlela,moja kati ya mastaa wakali wa muvi za kibongo,amefiwa na baba yake mzazi pichani hapo juu leo.Kwa niaba ya mafans wangu wote toka pande zote za dunia nachukua nafasi hii kukupa pole sana kwa kumpoteza kipenzi chako.Tupo pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu,tunakuombea kwa Mungu ili akupe nguvu za ziada za kushinda maumivu unayoyasikia sasa.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA,JINA LAKE LIBARIKIWE.
Saturday, November 26, 2011
PIC OF THE WEEK
Kalsoume Sinare and I,Accra-Ghana.March,2011
Kalsoume Sinare,ni mmoja kati ya waigizaji wakongwe na mahiri wa Ghallywood.Yeye ndiye alikuwa symbol yangu kwa miaka ya nyuma katika kufahamu kwamba hii ni filamu ya ghana.Amekuwepo kwa muda mrefu sana,tangu alikuwa akicheza kama kasichana,na sasa bado anaendelea kukimbiza tu.
Mara yangu ya kwaza kabisa kutia maguu Accra,yeye ndiye mtu wa kwanza nilliyekuwa nawish kummeet na kubadilishana naye mawazo mawili matatu kuhusiana na kiwanda cha filamu sio Bongo wala cha Ghana,bali kiwanda cha filamu Africa.Ni ndoto yangu kuona siku moja Producer wa Nollwood anapoandaa filamu anaanza kufikiria Cast kutoka Angola,au Rwanda.Producer wa Bongo anamfikiria msanii wa Ghana au South Africa,Producer wa Ghana anamfikiria msanii wa Kibongo au Burundi,INAWEZEKANA.
I was so excited kukutana na Kalsoume Japo kwa bahati mbaya hakuwa wa kwanza tena kukutana naye kama ilikvyokuwa ndoto yangu kwani nilishakutana na MAJID MICHEL, na ADJETEY ANANG.Lakini Kalsoume alinipokea vizuri sana,ni mcheshi na mkarimu.Nilienjoy kwa kweli,na akaniinvite dinner mara nyingine nitakayokuwa huko,japo niliporudi tena in Sept..i was so busy na mambo mengine hatukuonana.
Kalsoume ni mke na mama wa watoto wawili wa Kiume.
Kalsoume Sinare,ni mmoja kati ya waigizaji wakongwe na mahiri wa Ghallywood.Yeye ndiye alikuwa symbol yangu kwa miaka ya nyuma katika kufahamu kwamba hii ni filamu ya ghana.Amekuwepo kwa muda mrefu sana,tangu alikuwa akicheza kama kasichana,na sasa bado anaendelea kukimbiza tu.
Mara yangu ya kwaza kabisa kutia maguu Accra,yeye ndiye mtu wa kwanza nilliyekuwa nawish kummeet na kubadilishana naye mawazo mawili matatu kuhusiana na kiwanda cha filamu sio Bongo wala cha Ghana,bali kiwanda cha filamu Africa.Ni ndoto yangu kuona siku moja Producer wa Nollwood anapoandaa filamu anaanza kufikiria Cast kutoka Angola,au Rwanda.Producer wa Bongo anamfikiria msanii wa Ghana au South Africa,Producer wa Ghana anamfikiria msanii wa Kibongo au Burundi,INAWEZEKANA.
I was so excited kukutana na Kalsoume Japo kwa bahati mbaya hakuwa wa kwanza tena kukutana naye kama ilikvyokuwa ndoto yangu kwani nilishakutana na MAJID MICHEL, na ADJETEY ANANG.Lakini Kalsoume alinipokea vizuri sana,ni mcheshi na mkarimu.Nilienjoy kwa kweli,na akaniinvite dinner mara nyingine nitakayokuwa huko,japo niliporudi tena in Sept..i was so busy na mambo mengine hatukuonana.
Kalsoume ni mke na mama wa watoto wawili wa Kiume.
Habar toka News One-Accra,Ghana
Monday, 21 November 2011
Bleeding Sunshine: A Hollywood Thriller On Human Trafficking Begins In Accra
It
has become evident that female movie makers from Africa have taken the
continent’s movie industry a step further in recent times.
Chineze Anyaene’s ‘Ije’ and Leila Djansi’s ‘Sinking Sands’ are a few classic examples.
The
world is about to witness another landmark achievement in the history
of movies as an American-based Ghanaian female filmmaker, Yaa Boaa
Aning, parts the curtains for ‘Bleeding Sunshine’, an international
standard feature film on human trafficking.
Yaa
has just wrapped up the Ghana shoot of the film but would take shots
from some other significant locations in Egypt, Dubai and Israel.
‘Bleeding
Sunshine’ sheds light on the untold intricacies of human trafficking
with emphasis on African teenagers trafficked to other parts of the
world, particularly to Europe for mostly commercial sexual exploitation.
It
significantly tackles some of the modus operandi of traffickers while
sharing firsthand information on what victims go through.
This brings to bare the nightmares of a young Ghanaian girl, played by Suzzy Nabor, who was adopted from her humble fishing village and thrust into the gritty world of international human trafficking.
Yaa
Boaa Aning wrote the film’s script five years ago when she was doing a
research on Interpol. Through the research, she came across an article
which inspired her to carry further investigation into human trafficking
issues.
Yaa Boaa, a Bachelor’s degree holder from the University of North Carolina at Chapel Hill,
who has worked in Hollywood for the last 10 years, is fascinated by the
beautiful locations in Ghana and stated that it was one of the factors
that inspired the feature.
“I
mean it is so beautiful out here. Part of the reasons to shoot was to
show Ghana in a way it has never been shown before to the world before.
There is going to be photo-tourism. Everywhere we turned our camera
there is richness of culture and we want people in abroad to see and
remind people that leave here how special this place is and also inspire
them to look after it,” she told NEWS-ONE.

Chase
is a top Hollywood DOP with film credits like ‘Excuse Me For Living’
featuring Tom Pelphrey, Christopher Lloyd, Robert Vaughn, Wayne Knight,
Jerry Stiller and Dick Cavett; the Warner Bros. release ‘Listen To Your
Heart’ featuring Cybil Shepherd and Ernie Sabella; ‘In a Pickle’
starring Jackie Mason, and ‘Cost of a Soul’, which was theatrically
released nationwide at 50 AMC theaters in April 2011.
He started shooting professionally at the age of fourteen, refined his skills by studying art and photography in Rome,
and ran his own production company for ten years. His involvement in
‘Bleeding Sunshine’ is his first experience working in Ghana and second
in Africa after his previous job in Kenya.
With
heart-throbbing scenes, the story of ‘Bleeding Sunshine’ is told with a
great cast from around world; one reason the movie is expected to sell
internationally.
Although Hollywood cast are to be made public, the film’s African cast will include 2007 ‘Pirates of the Caribbean’ star Hakeem
Kae-Kazim, Omar Sheriff, Amonobea Dodoo, Steven Kanumba, 2011 Pan
African best Actor- Chris Attoh, 2010 Zanzibar Intl Film Fest Award Best
Actress-Yvonne Cherryl from Tanzania, and 2010 Africa Movie Academy
Awards (AMAA) Best Actor, AdjeteyAnang (Pusher).
AMAA
2011 Best Actress - Ama K Abebrese, Suzzy Nabor, Jasmine Baroudi of
‘Adams Apples’ fame, Lady Arafua, R&B sensation Katou and Lucy Kwao
and others are part of the cast.
“I
played the character of Captain Addo, a fisherman, the father of Suzzy,
the little girl who was trafficked overseas. But I have shot lifespan
in it. It is great production and very professional. I was always on my
toes because I knew that I have to raise my level. It wasn’t a layback
experience or like what we have back home. The director and crew were
down to earth; I can’t pinpoint anything I didn’t like about this
production,” Adjetey Anang said about his role in the project.
Yaa Boaa hoped the film would be the next big thing on the international movie scene when it was finally done.
Yaa
Boaa, born to Ghanaian parents in the US some years ago, has made a
name in USA for her enormous contributions in US entertainment industry.
She
started her career in advertising in New York. But bored with the lack
of creative expression in account management, she decided to try her
hands at fashion show production with some of the most prominent houses
in the world- Giorgio Armani, BCBG, Jeremy Scott, and Betsey Johnson to
name a few.
Fashion
show production lead to fashion styling, which lead to film costuming,
which ultimately exposed her to the enduring art of filmmaking, working
with such acclaimed directors as Michael Mann, Bill Condon and John
Singleton. Never letting go of her passion for writing, between 2007 and
2010, Yaa Boaa completed her first 5 feature scripts.
In
2009, she wrote and directed award-winning short film, ‘The Prince of
Venice’. Other projects include ‘Felix Triangle for President,’ which
is currently in pre-production and ‘Zahara’ which is in postproduction.
She also costumed Jamie Foxx and Usher Raymond in ‘The Kingdom’, ‘Dream Girls’, ‘Miami Vice’ and ‘In The Mix’.
Richard
Nwaobi-E project managed this film and assembled a great cast as the
film producer, Dave Boapong, was production manager, with Brian Angels as camera assistant.
Credit: Francis Addo, NEWS-ONE
Friday, November 25, 2011
POLE SANA SAJUKI TUPO NAWE KATIKA WAKATI HUU MGUMU
Timu nzima ya Monalisafilms blogspot inaungana na watanzania na wasiokuwa watanzania lakini wanaofahamu fika hali ya kiafya ya msanii wa maigizo Juma Kilowoko al-maarufu kama Sajuki katika kipindi hiki kigumu sana,pamoja tunakuombea upone haraka na kurejea katika shughuli zako za kila siku.
Maombi yetu pia kwa mama Sajuki (Wastara),Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki cha kumuuguza mumeo.
Kutoa ni moyo kwa yeyote mwenye chochote kitu kwa nia moja ameamua kumfariji mgonjwa awasiliane na blog hii ya Monalisafilms kwa namba 0718958758 ama email yvonnecherryl@gmail.com na mchango wako utafikishwa mahali husika..
Maombi yetu pia kwa mama Sajuki (Wastara),Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki cha kumuuguza mumeo.
Kutoa ni moyo kwa yeyote mwenye chochote kitu kwa nia moja ameamua kumfariji mgonjwa awasiliane na blog hii ya Monalisafilms kwa namba 0718958758 ama email yvonnecherryl@gmail.com na mchango wako utafikishwa mahali husika..
Tuesday, November 22, 2011
MONALISA TO REPRESENT BONGOFILM INTERNATIONALLY
"By the first time i did not expect but time is right here" she said after receiving this......it's simply amazing but she did it.
MONALISA THE BEST ACTRESS IN TANZANIA TO BE FEATURED ALONG SIDE WITH HOLLYWOOD STARS
The best actors and actresses on the African continent have
been brought together to feature alongside Hollywood
actors in a new movie ‘Bleeding Sunshine’, which is set to hit the
theatres soon. The production crew is expected to continue shooting in Egypt, Dubai and Israel.
The ‘Bleeding Sunshine’ movie talks about the “illegal trade of human beings for the purposes of reproductive slavery, commercial sexual exploitation, forced labour, or a modern-day form of slavery” called human trafficking.
The Hollywood feature film brings out a harrowing tale of a young Ghanaian girl [Suzzy Nabor] whose life is turned upside down when she is plucked from her humble fishing village and thrust into the gritty world of international human trafficking.
The ‘Bleeding Sunshine’ movie talks about the “illegal trade of human beings for the purposes of reproductive slavery, commercial sexual exploitation, forced labour, or a modern-day form of slavery” called human trafficking.
The Hollywood feature film brings out a harrowing tale of a young Ghanaian girl [Suzzy Nabor] whose life is turned upside down when she is plucked from her humble fishing village and thrust into the gritty world of international human trafficking.
Tuesday, November 8, 2011
PALE FILAMU ZINAPOTURUDISHA DARASANI
Unaweza kuhisi kwamba pindi unapovaa joho ama la kuhitimu kidato cha nne cha sita ama joho la heshima la chuo kikuu kwamba umemaliza kila kitu kuhusu kusoma dah!!! katika tasnia ya filamu mambo yanarejea kulekule kusoma kama kawaida. halafu mbaya zaidi ukiwa muhusika mkuu kuna kitu kinaitwa SCRIPT wanaoifahamu lugha vizuri wanasema ni mswada,mh!! yaani hapo ni zaidi ya darasa,kama ulikuwa hauna mazoea ya kukaririri 'what is biology,what is civics' sasa huku hakuna ujanja lazima ukaririri kwanza ndo uende mbele ya kamera,halafu huku hakuna cha kuangalizia ukithubutu kuangalizia kamera inakuumbua kwa hiyo lazima ukariri,aliyekwambia unaweza kuielewa script nani??? labda kama hiyo filamu umetunga mwenyewe kichwani,asikwambie mtu jamani script haina cha mzoefu


Hapa kama script inamzingua vile Monalisa,lakini sasa atafanyaje na ndo hiyo ajira yake na huyu mama yangu naye anaandaa hapo script kazi kwenye kukariri halafu mkononi ana pesa dah! sijui mchaga.
Hapa kama script inamzingua vile Monalisa,lakini sasa atafanyaje na ndo hiyo ajira yake na huyu mama yangu naye anaandaa hapo script kazi kwenye kukariri halafu mkononi ana pesa dah! sijui mchaga.
Friday, November 4, 2011
MONALISA NA KANUMBA WAINUSA HOLLYWOOD

Dah!! kama utani vile mwanadada mashuhuri katika tasnia ya filamu hapa bongo ambaye anatamba mkononi na tuzo yake ya msanii bora wa kike mwaka jana Yvonne Cherryl ali maarufu kama Monalisa pamoja na pacha wake katika tuzo kwa upande wa wanaume Stevene Kanumba,juhudi zao katika sanaa zinazidi kuzaa matunda huku wakipasua anga zaidi kimataifa na sasa wapo nchi iliyojaa vipaji vya sanaa ya maigizo Ghana. Hawajaenda kula bata kama wengi wanavyodhani bali wameenda kikazi zaidi huku wakiiwakilisha vyema afrika mashariki miongoni mwa vichwa vingine kutoka nchi mbalimbali tayari kwa kupakua mzigo wa maana.
Tuesday, November 1, 2011
MONALISA ABADILI DINI
Hiyo heading huenda imekushtua sana....... hapana usishtuke mbona kawaida kwani wangapi wamebadili dini na bado wanapeta??? kwani dhambi jamani. Hapana jamani alikuwa anatania tu,mwanadada mashuhuri ambaye anakaribia kuitwa nguli katika tasnia ya filamu bongo Yvonne Cherry yupo mzigoni na muda wowote kuanzia sasa msubiri hapo nyumbani kwako katika mzigo mpya anaoupiga na mtaalamu mwenzake Lucie Komba. Jina la picha naweka kapuni lakini mwanadada Monalisa hapo kati akiitwa Salma binti Sudi amevaa uhusika wa kiislamu na kubutua hiyo filamu ambayo bila shaka hajaharibu kitu chochote kama kawaida.
unaweza ukaamini yeye ndo kamvisha hili hijabu mwanadada binti wa Komba najua huwezi kuamini mtazame hapa chini.

hii ilikuwa siku ya kwanza....kwa behind the scene nyingine endelea kufatilia blog hii hadi mwisho wa mchezo
hii ilikuwa siku ya kwanza....kwa behind the scene nyingine endelea kufatilia blog hii hadi mwisho wa mchezo
Monday, October 31, 2011
TUWE SAUTI YAO
Naamini hawawezi kusikika hata wakizipaza sauti zao juu sana,si tu kwa sababu sauti zao ziko chini HAPANA ila watanzania wameziba masikio yao wasiweze kuwasikia na kuwasaidia. Hebu kuwa wa kwanza kufungua masikio yako na kumsikikliza bibi huyu akilia kwa uchungu mkali analia kilio cha upendo,upendo wake unasababisha chozi lake limdondoke. Hana uwezo mkubwa sana lakini ana upendo,kipato chake ni duni lakini bado anahitaji kusaidia wengine,kubwa zaidi ni MLEMAVU lakini hilo halimkatishi tamaa,kutana na bibi huyu katika show malidhawa itakayokujia hivi karibuni. Je unaamini kwamba waweza kuwa mlemavu lakini bado ukawasaidia wengine wasiojiweza zaidi yako??
"mabadiliko huanzia kwa mmoja na hatimaye dunia nzima" anaonekana akisema mama huyu mlemavu ambaye ana jukumu linalomzidi uzito....vuta subira utamfahamu kiundani hivi karibuni.......
Thursday, October 20, 2011
MONALISA KUISHANGAZA TANZANIA NA DUNIA!!!
Msanii maarufu wa filamu hapa nchini anayewika hadi nchi za watu huku akijivunia kuwa muigizaji bora wa kike kipindi flani hivi sasa anakuja kivingine kuikamata Tanzaniana mipaka yake.....unahisi anaandaa filamu mpya bada ya kutamba naBinti Nusa iliyompa tunzo??...au unadhani anaandaa muziki???...mimi na wewe hatufahamu kama ndo ameamua kuacha sanaa ya filamu ili kuishangaza Tanzania au vipi,yeye mwenyewe hakufunguka sana ila alisema kaneno flani hivi nami namnukuu
"coming soooon!!!!!!" hebu tazama hapa akiwa bize nyuma ya camera katika hizo location hapa juzi kati.

hapa mama na mwana...Monalisa akiwa anaandika masuala kadhaa soon baada ya kufika location.
"coming soooon!!!!!!" hebu tazama hapa akiwa bize nyuma ya camera katika hizo location hapa juzi kati.
hapa mama na mwana...Monalisa akiwa anaandika masuala kadhaa soon baada ya kufika location.
I AM BACK
Ni siku nyingi sana nimekuwa kimya katika ulimwengu huu wa blogu lakini sasa nimerejea mzima mzima kuendelea kuwa nanyi karibu,kuwajuza nanyi kunijulisha mambo kadha wa kadha katika tasnia hii ya filamu zetu za kibongo. Fuatana nami upya tena kama zamani........hebu ngoja niwapigie namba zenu kama mnapatikana maana na nyie kwa kubadili namba siwawezi
Saturday, March 5, 2011
Nimetembelea Kambi ya Yatima na Wazee wasiojiweza na kula lunch pamoja nao

Nungwi-Kigamboni kwenye kambi ya yatima na wazee wasiojiweza zamani ikifahamika kama kambi ya wenye Ukoma ndiko nilipotembelea weekend hii na kula lunch pamoja nao.Chakula kilichopikwa na sisi wenyewe katika kikundi chetu cha wanawake cha Hybiscus

Hapa tukipata msosi na kupiga story mbili tatu na bibi huyu ambaye ni mgonjwa na anayeishi kambini hapo,alifurahi sana.


Huyu mtoto alinitia majonzi na kunidondosha chozi....Ni yatima na hapo kambini yupo yeye na wadogo zake wawili.Alinipenda sana nami nimempenda sana pia

Akiendelea kunielezea mkasa wake

Saturday, February 26, 2011
BONGO MOVIES FC VS BONGO FLAVA FC

Match kati ya Bongo Movies FC na Bongo Flava FC iliyofanyika jana Jumaamosi katika Uwanja mpya wa TAIFA kwa ajili ya kuchangia wenzetu waliokutwa na janga la mabomu ya Gongo la mboto na wengine kupoteza maisha.Hicho ndio Kikosi cha Bongo Movies FC

shitua kama Joti,cheza kama Joti,cheza kijotijoti ha ha ha......Joti wa Original Komedi ndani ya nyumba.

2nd half,hapa Bongo Movies FC tumeshafungwa kwa taabu sana goli 2.Magoli yote ya Bongo Flava FC yakifungwa na H.BABA alituudhi sana na ALI KIBA ndio alifanya sifa kama anataka kusajiliwa na YANGA vile

Wema Sepetu na Jacky Pentezel wakifuatilia Mechi

My mama( Susan Lewis Natasha) na Ephraim Kibonde.......kabla ya mechi kuanza

OH! My best Radio Presenter Millard Ayo huyoooooooooooo

My friend who is also One of Bongo movies show Producers,Felix Awino na Eva Dude

Suda Mwilima wa STAR TV akimhoji Malkia wa mipasho.Top in Town Khadija Omari Kopa

Hapa KOLETHA,MAMA na Mzee CHILLO ambaye alikuwa mmoja wa kamati ya ufundi

Yvonne Cherryl...............


ha ha ha na Jezi yangu na bado tukafungwa

For the first time,naweza sema wasanii bongo wamefanya kitu kikubwa sana kwa ajili ya maslahi ya jamii yetu.Ni kitu cha kuwapongeza kwa kweli.
Monday, February 21, 2011
JUKWAA LA SANAA -BASATA

MH.MBUNGE WA MBEYA MJINI KWA TIKETI YA CHADEMA,JOSEPH MBILINYI NAYE ALIKUWEPO KWENYE JUKWAA LA SANAA LINALOFANYIKA KILA SIKU YA J3 KATIKA OFISI ZA BASATA PALE ILALA-DAR ES SALAAM

JUKWAA LA SANAA HUWASHIRIKISHA WADAU MBALIMBALI AMBAO HUTOA MAONI NA PENGINE KUULIZA MASWALI KUHUSIANA NA MADA KUU YA SIKU HIYO.KAMA HAPA MWANAMUZIKI WA MUZIKI WA ASILI CHE MUNDU GWAO AKIULIZA SWALI

KATIBU MTENDAJI WA BASATA GONCHE MATEREGO AKIHITIMISHA MADA NA KUFUNGA MDAHALO WA SIKU HIYO PEMBENI NI PROFESSOR AMANDINA LIHAMBA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA MDAHALO HUO

MADA KUU WA SIKU HIYO NI HISTORIA YA FILAMU,CHANGAMOTO NA MAFANIKIO YAKE.HAPA MH.SUGU KAMA TULIVYOZOEA KUMUITA AKISISITIZA JAMBO

TUNAWAPONGEZA BASATA KWA KUWA NA JUKWAA HILI KILA WIKI,LINASAIDIA SANA KATIKA KUONGELEA MASUALA MBALIMBALI YAHUSUYO SANAA TANZANIA.
Subscribe to:
Posts (Atom)